Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai ghasia za Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa matukio ya ghasia  yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu  Oktoba 29, 2025.

Kwa mujibu wa taarifa  iliyotolewa na  na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, hatua hiyo ni kutekeleza mapendekezo ya Tume ya Rais iliyochunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea kipindi cha uchaguzi huo, kwa mujibu wa Sheria ya Tume za Uchunguzi, Sura ya 32.

Walioteuliwa kuunda Tume hiyo ni Jaji wa Mahakama ya  Rufani Tanzania,  Shabani Ally Lila ameteuliwa kuwa  Kamishna  na Mwenyekiti wa Tume.

Wengine walioteuliwa ni Gad Mjemmas, Awadh Mohamed Bawazir pamoja na Aishieli Sumari ambao wote ni Majaji Wastaafu wa Mahakama  Kuu ya Tanzania.




spot_img

Latest articles

Tanesco yatakiwa kubuni teknolojia mpya kuboresha huduma kwa wateja

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, ameielekeza TANESCO kuendelea kufanya tafiti...

DAWASA yaja na operesheni siku 90 kudhibiti upotevu wa maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

Nusu fainali Kombe la shirikisho, Chama atakuwa Arusha, Diarra Mwanza  

Na Winfrida Mtoi MCHEZO wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho kati ya...

DAS Temeke azindua ofisi ya Wilaya ya kitanesco ya Mikwambe

📌Aipongeza TANESCO kwa maboresho yanayoendelea ili kusogeza huduma karibu kwa Wananchi. 📌Asema itapunguza adha wananchi...

More like this

Tanesco yatakiwa kubuni teknolojia mpya kuboresha huduma kwa wateja

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, ameielekeza TANESCO kuendelea kufanya tafiti...

DAWASA yaja na operesheni siku 90 kudhibiti upotevu wa maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

Nusu fainali Kombe la shirikisho, Chama atakuwa Arusha, Diarra Mwanza  

Na Winfrida Mtoi MCHEZO wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho kati ya...