Nyota Simba waungana kumuombea Inonga abebe kombe AFCON

Na Winfrida Mtoi

Wachezaji wa Simba wameungana na mchezaji mwenzao Henock Inonga kumuombea aweze kufika fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) hata kubeba ubingwa wa michuano hiyo inayoendelea nchini Ivory Coast.

Inonga ambaye ni beki wa Simba anaitumikia timu ya Taifa ya DR Congo ambayo keshokutwa Februari 7, 2024 itashuka dimbani kucheza na wenyeweji Ivory Coast katika mchezo wa nusu fainali.

Beki wa Wekundu wa Msimbazi hao, Hussein Kazi ndiye aliyeweka bayana kuwa wachezaji wa Simba wanamuombea mwenzao aweze kufika mbali na kuchukua ubingwa michuano hiyo mikubwa barani Afrika.

“Sisi kama Simba wachezaji kwa ujumla, tunamuombea mwenzetu Inonga mazuri aweze kufika mbali na kuchukua kombe,” amesema Kazi wakati akizungumzia maandalizi kuelekea mechi yao na Tabora United, utakaochezwa kesho Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mkoni Tabora.

spot_img

Latest articles

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O...

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahi apania rekodi

Na Winfrida Mtoi BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake...

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

More like this

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O...

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahi apania rekodi

Na Winfrida Mtoi BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake...