Al Ahly yaanza safari kuifuata Yanga Zanzibar

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Al Ahly ya nchini Misri imeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga, utakaochezwa Jumamosi Januari 31, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex.

Katika mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini, Yanga ilipoteza kwa mabao mawili, hivyo  wanajangwani hao wanatakiwa  kuhakikisha wanapata matokeo mazuri nyumbani ili kujiweka nafasi nzuri ya kufuzu hatua nyingine.

Msimamo wa kundi B la michuano hiyo, Al Ahly inaongoza ikiwa na pointi saba, Yanga inafuatia na pointi nne, huku AS FAR na Kabylie kila mmoja akiwa na alama mbili katika michezo mitatu timu hizo zilizocheza.

spot_img

Latest articles

MAB yateta na wadhibiti Mutukula OSBP

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa TMDA (MAB), Eric Shitindi...

Rais Samia: Hakuna mtoto atafika darasa la tatu bila kujua kusoma, kuandika na kuhesabu

Na Tatu Mohamed RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

Uwanja wa KMC wafungiwa

Na Mwandishi Wetu  SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeufungia uwanja wa KMC, uliopo Mwenge, jijini...

More like this

MAB yateta na wadhibiti Mutukula OSBP

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa TMDA (MAB), Eric Shitindi...

Rais Samia: Hakuna mtoto atafika darasa la tatu bila kujua kusoma, kuandika na kuhesabu

Na Tatu Mohamed RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,...