Yanga bingwa Mapinduzi Cup 2026

Na Mwandishi Wetu

YANGA imetwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi ikiifunga Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5-4 katika mchezo wa fainali uliopigwa Januari 13, 2026 kwenye dimba la Gombani, Pemba.

Mchezo huo uliishia kwa sare tasa ndani ya dakika 90 za kawaida, hali iliyomlazimu mwamuzi kuongeza muda wa nyingeza dakika 30 ili kumpata mshindi, lakini hakuna timu iliyofanikiwa kufunga.

Katika dakika ya 115 ya mchezo, Yanga ilipata penalti lakini kipa wa Azam Aishi Manula aliokoa mkwaju huo uliopigwa na Pacôme Zouzoua, huku Azam ikiwa pungufu.

Mchezo huo ulikuwa ni mgumu kwa pande zote, licha ya Azam kucheza pungufu tangu dakika ya 74 baada ya mchezaji wao Cheikna Diakite kuoneshwa kadi nyekundu.

Aidha Max Nzengeli wa Yanga amekiwa mchezaji bora wa mashindano (MVP), Manula kipa bora na Jephte Kitambala wa Azam akiibuka mfungaji bora.

spot_img

Latest articles

Yacouba atambulishwa Mbeya City

Na Mwandishi Wetu NYOTA wa zamani wa Yanga, raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne, ametambulishwa ...

Waziri Ndejembi: Tanzania ina fursa kubwa ya kuendeleza nishati ya Jotoardhi

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema kutokana na uwepo wa vyanzo...

‘Guardians of the Peak’ kuinua utangazaji utalii wa Kilimanjaro kupitia filamu

Na Mwandishi Wetu MRADI wa Guardians of the Peak, unaoingia msimu wake wa pili,...

Serikali yazindua Jukwaa la Vijana, yataja vijana kuwa mhimili Mkuu wa Maendeleo ya Taifa

Na Tatu Mohamed SERIKALI imezindua rasmi jukwaa la kitaifa la vijana lijulikanalo kama ‘Vijana...

More like this

Yacouba atambulishwa Mbeya City

Na Mwandishi Wetu NYOTA wa zamani wa Yanga, raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne, ametambulishwa ...

Waziri Ndejembi: Tanzania ina fursa kubwa ya kuendeleza nishati ya Jotoardhi

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema kutokana na uwepo wa vyanzo...

‘Guardians of the Peak’ kuinua utangazaji utalii wa Kilimanjaro kupitia filamu

Na Mwandishi Wetu MRADI wa Guardians of the Peak, unaoingia msimu wake wa pili,...