Heche viongozi wengine Chadema waachiwa na Polisi kwa dhamana

Na Mwandishi Wetu

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche na viongozi wengine wa chama hicho  wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi jioni ya leo jumatatu Novemba 10, 2025.

Heche ameachiwa pamoja na viongozi wengine wa chama hicho akiwemo Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa, Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani Boniface Jacob na Mjumhe wa Kamati Kuu Godbless Lema.

Kwa mujibu wa wakili Hekima Mwasipu amesema Heche ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na Jeshi la Polisi toka Oktoba 22, 2025 alipokamatwa katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.

Amesema viongozi wote hao wameachiwa katika kituo cha Polisi cha Osterbay jijini Dar es Salaam

spot_img

Latest articles

Waziri Ulega, RC Chalamila pekueni mafaili wizarani

KWA nyakati tofauti viongozi wawili wamezungumzia jiji la Dar es Salaam kuhusu msongamano wa...

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto...

Beki Yanga afanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu NAHODHA msaidizi wa timu ya Yanga na mchezaji wa timu ya Taifa...

Rostam aanika maono yake umiliki mpya ya NMG

Na Mwandishi Wetu MFANYABIASHARA na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa wa kimkakati...

More like this

Waziri Ulega, RC Chalamila pekueni mafaili wizarani

KWA nyakati tofauti viongozi wawili wamezungumzia jiji la Dar es Salaam kuhusu msongamano wa...

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto...

Beki Yanga afanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu NAHODHA msaidizi wa timu ya Yanga na mchezaji wa timu ya Taifa...