Ivo Mapunda aomba sapoti kwa watanzania CECAAF

Na Mwandishi Wetu

Kocha wa timu ya Taifa ya soka kwa watu wenye Ulemavu Tanzania ‘Tembo Warriors’, ameomba sapoti kutoka kwa Watanzania kuhakikisha wanafanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAAF), inayofanyika nchini Burundi.

Tembo Warriors ambayo tayari imewasili nchini humo, inatarajia kurusha karata yake ya kwanza kesho September 9, 2025 dhidi ya Kenya.

Mapunda amesema wamejiandaa kufanya vizuri katika mashindano hayo, huku akiwataka watanzania waliopo nchini Burundi kujitokeza uwanjani kusapoti timu hiyo katika  kupambania ubingwa wa mashindano hayo.

“Kwa Asilimia 95% tuko tayari kwa ajili ya mchezo kikubwa tunaomba sapoti ya watanzania waliopo nchini Burundi kuja uwanjani na watanzania waliopo Tanzania kwa dua ili turudi na ubingwa, “amesema Mapunda.

spot_img

Latest articles

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...

Senegal yavuliwa ubingwa wa AFCON 2025, wapewa Morocco

Na Mwandishi Wetu SENEGAL imevuliwa ubingwa  wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada...

More like this

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...