Yanga yaomba radhi mashabiki, yafafanua kuhusu mchango wa milioni 100 kwa CCM

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Yanga imewaomba radhi mashabiki wake na kutoa kuhusu fedha kiasi cha sh 100 milioni walizotoa mchango katika harambee ya kuchangia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kufanikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29,2025.

Yanga imeomba radhi katika taarifa yake iliyotoa kwa Umma leo Agosti 14, 2025 baada ya mashabiki wake kuja juu mitandaoni wakiibua mijadala wakihisi fedha zilizotumika ni za wanachama.

Katika taarifa hiyo imefafanua kuwa fedha za mchango kwa CCM Agosti 12, 2025 zimetoka katika Taasisi ya GSM Foundation iliyopo chini ya mfadhili wa klabu hiyo, Ghalib Said.

spot_img

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

More like this

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...