ALLY KAMWE  AKAMATWA NA POLISI AACHIWA  KWA DHAMANA


Na Mwandishi Wetu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, SACP Richard Abwao amesema Jeshi la Polisi Mkoani humo limemuachia Afisa Habari wa Klabu ya Yanga Ally Kamwe kwa dhamana baada ya kukamatwa kwa  saa kadhaa usiku wa kuamkia leo kwa madai ya kutoa kauli chafu kwa viongozi wa Serikali.

Kwa mujibu wa kamanda huyo, licha ya kuachiwa  taratibu nyingine za kiuchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili zinaendelea na Kamwe atatakiwa  kuripoti Aprili 21,2025.

Kamwe alishikiliwa  na Polisi ikiwa ni siku mbili zimepite tangu adaiwe kurusha  dongo kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha katika hamasa kuelekea mchezo wao dhidi ya Tabora United uliopigwa jana.

spot_img

Latest articles

Sekta binafsi zatakiwa kushiriki kikamilifu kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi

Na Tatu Mohamed, Mwanza  NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo...

Kafulila: Hatuwezi kujenga uchumi wa nchi bila kushirikisha sekta binafsi

Na Tatu Mohamed, Mwanza MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma...

Mkoa wa Mwanza wawakaribisha wawekezaji, waanika fursa lukuki

Na Winfrida Mtoi, Mwanza MKOA wa Mwanza umeweka bayana utayari wake wa kutoa...

🔴🔴 Wananchi waguswa na miradi ya elimu inayotekelezwa na TAWA Liwale

📍Wakiri uhifadhi kuwa na manufaa Na Mwandishi wetu, Lindi MIRADI ya ujenzi wa madarasa mawili yenye...

More like this

Sekta binafsi zatakiwa kushiriki kikamilifu kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi

Na Tatu Mohamed, Mwanza  NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo...

Kafulila: Hatuwezi kujenga uchumi wa nchi bila kushirikisha sekta binafsi

Na Tatu Mohamed, Mwanza MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma...

Mkoa wa Mwanza wawakaribisha wawekezaji, waanika fursa lukuki

Na Winfrida Mtoi, Mwanza MKOA wa Mwanza umeweka bayana utayari wake wa kutoa...