Mbowe akamatwa na Polisi

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limewakamata watu 14 wakiwamo viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokaidi amri ya Jeshi hilo ya kusitisha maandamano leo Septemba 23, 2024.

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro amesema viongozi wa CHADEMA walikamatwa ni Mwenyekiti, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu na Godbless Lema.

Aidha, amewataka Watanzania wapuuze taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii na mitaani kuwa watu hao wametekwa, bali wamekamatwa na wanaendelea na mahojiano ili taratibu za kisheria ziendelee.

spot_img

Latest articles

Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania...

Zulfa Macho atinga fainali ya ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo...

Simba kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika, Kapombe mchezaji bora

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba imeteuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwania tuzo...

Heche akamatwa na Polisi Dar, apelekwa Tarime

Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)Tanzania Bara, John Heche,...

More like this

Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania...

Zulfa Macho atinga fainali ya ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo...

Simba kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika, Kapombe mchezaji bora

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba imeteuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwania tuzo...