Maombi ya Lissu kusikilizwa Juni 2, arudishwa rumande

Na Mwandishi Wetu

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imepanga kusilikiza shauri la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu linalohusu maombi ya kuunganishwa katika kesi inayohusu mgawanyo wa mali za chama hicho.

Shauri hilo limetajwa leo Mei 25, 2026, mbele ya Jaji David Ngunyale, ambapo Mahakama imeutaka upande wa wajibu maombi kuwasilisha viapo vyao kinzani ndani ya siku saba.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuahirishwa kwa shauri hilo, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Dk. Rugemeleza Nshala, amesema hatima ya maombi ya Mwenyekiti  huyo itategemea uamuzi unaotarajiwa kutolewa Mei 28, 2026 katika kesi ya msingi iliyorejeshwa Mahakama Kuu kutoka Mahakama ya Rufani.

Ameeleza kuwa, iwapo Mahakama itaamua kesi hiyo inaendelea kuwa na nguvu kisheria, basi maombi ya mwenyekiti yataendelea kusikilizwa, lakini kama kesi ya msingi itafutwa, hata maombi hayo yataathirika.

spot_img

Latest articles

Wachina wanne wakamatwa kwa utekaji

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia raia wanne...

Watu 1,066 wapoteza maisha ajali za barabarani

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema jumla ya Watu 1,066...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio...

TTB yamkaribisha bingwa wa Masumbwi duniani Terence kwa ziara ya utalii

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini...

More like this

Wachina wanne wakamatwa kwa utekaji

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia raia wanne...

Watu 1,066 wapoteza maisha ajali za barabarani

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema jumla ya Watu 1,066...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio...