Al Ahly yaanza safari kuifuata Yanga Zanzibar

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Al Ahly ya nchini Misri imeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga, utakaochezwa Jumamosi Januari 31, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex.

Katika mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini, Yanga ilipoteza kwa mabao mawili, hivyo  wanajangwani hao wanatakiwa  kuhakikisha wanapata matokeo mazuri nyumbani ili kujiweka nafasi nzuri ya kufuzu hatua nyingine.

Msimamo wa kundi B la michuano hiyo, Al Ahly inaongoza ikiwa na pointi saba, Yanga inafuatia na pointi nne, huku AS FAR na Kabylie kila mmoja akiwa na alama mbili katika michezo mitatu timu hizo zilizocheza.

spot_img

Latest articles

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...

More like this

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...