Simba, Yanga zaondoka nchini

Na Winfrida Mtoi

Timu za Simba na Yanga leo zimeondoka nchini leo kwa ajili ya kwenda kucheza michezo yao raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Yanga imeelekea Angola, kuikabili  Wiliete ya nchini humo Septemba 19, 2025, Uwanja wa  11 de Novembro, huku Simba ikitarajiwa kutua Botswana ambapo  itacheza na Gaborone United Septemba 20, 2025 kwenye dimba la Obed Itani Chilume.

Vigogo hao wa soka nchini wenye maskani yao Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameondoka baada ya jana kucheza mechi ya Ngao ya Jamii na Yanga kutwaa ubingwa huo.

Baada ya mechi hizo zitarejea nchini kujiandaa na michezo ya marudiano ambapo Yanga na Wiliete zitarudiana Septemba 27, 2025, Benjamin Mkapa.  Simba itarudiana na Gaborone United Septemba 28,2025 kwenye uwanja huo huo.

spot_img

Latest articles

Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni halali

Na Mwandishi wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa...

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha...

Ujumbe wa viongozi wa dini kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 katika Kongamano la Kamati ya Amani Kitaifa Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu Askofu Mkuu Wapo Mission, Dk. Sylvester Gamanywa “Mungu ambaye tunamwakilisha ndiye anayweka watawala...

Watumishi wa umma waaswa kushiriki Uchaguzi wa Oktoba 29

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote...

More like this

Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni halali

Na Mwandishi wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa...

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha...

Ujumbe wa viongozi wa dini kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 katika Kongamano la Kamati ya Amani Kitaifa Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu Askofu Mkuu Wapo Mission, Dk. Sylvester Gamanywa “Mungu ambaye tunamwakilisha ndiye anayweka watawala...