Ivo Mapunda aomba sapoti kwa watanzania CECAAF

Na Mwandishi Wetu

Kocha wa timu ya Taifa ya soka kwa watu wenye Ulemavu Tanzania ‘Tembo Warriors’, ameomba sapoti kutoka kwa Watanzania kuhakikisha wanafanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAAF), inayofanyika nchini Burundi.

Tembo Warriors ambayo tayari imewasili nchini humo, inatarajia kurusha karata yake ya kwanza kesho September 9, 2025 dhidi ya Kenya.

Mapunda amesema wamejiandaa kufanya vizuri katika mashindano hayo, huku akiwataka watanzania waliopo nchini Burundi kujitokeza uwanjani kusapoti timu hiyo katika  kupambania ubingwa wa mashindano hayo.

“Kwa Asilimia 95% tuko tayari kwa ajili ya mchezo kikubwa tunaomba sapoti ya watanzania waliopo nchini Burundi kuja uwanjani na watanzania waliopo Tanzania kwa dua ili turudi na ubingwa, “amesema Mapunda.

spot_img

Latest articles

INEC yatoa wito kwa asasi za kiraia

Na Mwandishi Wetu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imezitaka taasisi na asasi za...

Dk. Philip Mpango wakiteta jambo na Rais wa Kenya kabla ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabiachi- Ethiopia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na...

TAARIFA KWA UMMA

DC Msando aridhishwa uzalishaji maji Ruvu, atoa maagizo Dawasa

Na Mwandishi Wetu MKUU cmwa Wilaya ya Ubungo (DC), Albert Msando amefanya ziara katika...

More like this

INEC yatoa wito kwa asasi za kiraia

Na Mwandishi Wetu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imezitaka taasisi na asasi za...

Dk. Philip Mpango wakiteta jambo na Rais wa Kenya kabla ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabiachi- Ethiopia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na...

TAARIFA KWA UMMA