Dodoma Jiji yatangaza mrithi wa Maxime

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Dodoma Jiji yamtangaza kocha Vincent Mashami kutoka Polisi FC ya Rwanda akichukua nafasi ya Mecky Maxime aliyeondoka mwishoni  msimu uliomalizika.

Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo leo Agosti 6, 2025, Mashami amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.

Nelson Munganga

Katika hatua nyingine Dodoma Jiji imemtambulisha kiungo, Nelson Munganga raia wa DR Congo akitokea Tabora United.

Munganga mwenye umri wa miaka 32 aliwahi kuitumikia klabu ya AS Vita na DC Motema Pembe ya Cobgo DRC na Moulodia, MAS Fes za Morocco.

Dodoma Jiji inaimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya msimu uliopita kumaliza katika nafasi 12 na pointi 34.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...