Dodoma Jiji yatangaza mrithi wa Maxime

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Dodoma Jiji yamtangaza kocha Vincent Mashami kutoka Polisi FC ya Rwanda akichukua nafasi ya Mecky Maxime aliyeondoka mwishoni  msimu uliomalizika.

Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo leo Agosti 6, 2025, Mashami amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.

Nelson Munganga

Katika hatua nyingine Dodoma Jiji imemtambulisha kiungo, Nelson Munganga raia wa DR Congo akitokea Tabora United.

Munganga mwenye umri wa miaka 32 aliwahi kuitumikia klabu ya AS Vita na DC Motema Pembe ya Cobgo DRC na Moulodia, MAS Fes za Morocco.

Dodoma Jiji inaimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya msimu uliopita kumaliza katika nafasi 12 na pointi 34.

spot_img

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

More like this

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...