SIASA Israel Salufu wa CCM achukua fomu ya kuwania Jimbo la Kilolo Media Brains By Media Brains 28 June 2025 Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Ndugu Israel Johaness Salufu amechukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Jimbo la Kilolo mkoani Iringa. Salufu amechukua fomu hiyo leo tarehe 28 Juni 2025 katika Ofisi za CCM wilaya ya Kilolo. Latest articles KITAIFA Watanzania Watakiwa Kujitokeza Kuomba Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Na Mwandishi Wetu WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangamkia fursa ya ajira iliyotangazwa na... 1 February 2026 KITAIFA CRDB yajipanga kuwezesha wabunifu Kibiashara Na Mwandishi Wetu BENKI ya CRDB imesema ipo tayari kuunga mkono tasnia ya ubunifu nchini... 30 January 2026 KITAIFA Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi wanne 29 January 2026 KITAIFA MAB yateta na wadhibiti Mutukula OSBP Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa TMDA (MAB), Eric Shitindi... 29 January 2026 More like this KITAIFA Watanzania Watakiwa Kujitokeza Kuomba Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Na Mwandishi Wetu WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangamkia fursa ya ajira iliyotangazwa na... 1 February 2026 KITAIFA CRDB yajipanga kuwezesha wabunifu Kibiashara Na Mwandishi Wetu BENKI ya CRDB imesema ipo tayari kuunga mkono tasnia ya ubunifu nchini... 30 January 2026 KITAIFA Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi wanne 29 January 2026