Rais Samia azindua Daraja la JP Magufuli

Na Mwandishi Wetu

Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2025 amezindua rasmi Daraja la  John Pombe Magufuli (Kigongo – Busisi) lililopo mkoani Mwanza, ili lianze kutumika  bade ya kukamilika  kwa asilimia 100.

Daraja hilo linaunganisha Wilaya ya Misungwi kupitia eneo la Kihongo na Wilaya ya Sengerema kupita eneo la Busisi, likiwa na urefu wa kilomita tatu pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66.

Ujenzi wa daraja hilo uliasisiwa na Hayati Magufuli na aliyefariki Machi 17, 2021 likiwa limefikia asilimia 24.6 za utekelezwaji wake na mrithi wake, Rais Samia  aliendeleza na hatimaye kukamilisha.

spot_img

Latest articles

Yanga yaikung’uta vibaya Mashujaa FC

Na Winfrida Mtoi WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa...

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi Wetu, Pwani OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha...

Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa Umeme Iringa na Dodoma

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imezindua Kituo cha Kupoza...

Tanesco Kigamboni yatoa elimu y nishati safi ya kupikia shule ya msingi Malaika

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati...

More like this

Yanga yaikung’uta vibaya Mashujaa FC

Na Winfrida Mtoi WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa...

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi Wetu, Pwani OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha...

Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa Umeme Iringa na Dodoma

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imezindua Kituo cha Kupoza...