Sakata lake na Harmonize, Ibraah aiachia Basata

Na Mwandishi Wetu

Baada ya kutoka ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Abdallah ‘Ibraah’, amesema ishu yake Konde Gang Music imefika kwenye mikono ya walezi, hivyo kila kitu kitakuwa sawa kwa sababu hiyo ni Serikali itaangalia wapi kuna haki na sheria itafuata mkondo wake.

Ibraah amefika Basata leo Mei 12, 2025 kuitika wito wa baraza hilo kutokana na sakata linaloendelea kati ya na lebo Konde Gang baada ya kutangaza kutaka kujitoa ambapo waliitwa yeye na Harmonize ambaye hakutokea.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa nimefika kwenye mikono ya walezi wetu, nadhani soon litakuwa sawa kwa sababu limefafika nyumbani,” amesema Ibraah.

Msanii huyo amekuwa kwenye mvutano na uongozi wa lebo hiyo Konde Gang Music Worlwide ambao jana Mei 11,2025 ulitangaza kumsimamisha Ibraah kushiriki shughuli zozozte za muziki hadi pale suala lake litakapopatiwa ufumbuzi wa kudumu kwa mijibu wa mkataba wake.

spot_img

Latest articles

Jeuri ya ushindi CAFCL Simba waanza ‘kuchonga’

Na Winfrida Mtoi Ushindi wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya Nsingizini Hotspurs katika mchezo wa Ligi ya...

Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani

Na Mwandishi Wetu, Mwanza VIONGOZI wa dini mbalimbali mkoani Mwanza, wametoa wito kwa Watanzania kujitokeza...

Chalamila amkabidhi mjane Alice Haule Hati ya Nyumba

Na Tatu Mohamed MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemkabidhi hati ya...

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

More like this

Jeuri ya ushindi CAFCL Simba waanza ‘kuchonga’

Na Winfrida Mtoi Ushindi wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya Nsingizini Hotspurs katika mchezo wa Ligi ya...

Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani

Na Mwandishi Wetu, Mwanza VIONGOZI wa dini mbalimbali mkoani Mwanza, wametoa wito kwa Watanzania kujitokeza...

Chalamila amkabidhi mjane Alice Haule Hati ya Nyumba

Na Tatu Mohamed MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemkabidhi hati ya...