Sakata lake na Harmonize, Ibraah aiachia Basata

Na Mwandishi Wetu

Baada ya kutoka ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Abdallah ‘Ibraah’, amesema ishu yake Konde Gang Music imefika kwenye mikono ya walezi, hivyo kila kitu kitakuwa sawa kwa sababu hiyo ni Serikali itaangalia wapi kuna haki na sheria itafuata mkondo wake.

Ibraah amefika Basata leo Mei 12, 2025 kuitika wito wa baraza hilo kutokana na sakata linaloendelea kati ya na lebo Konde Gang baada ya kutangaza kutaka kujitoa ambapo waliitwa yeye na Harmonize ambaye hakutokea.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa nimefika kwenye mikono ya walezi wetu, nadhani soon litakuwa sawa kwa sababu limefafika nyumbani,” amesema Ibraah.

Msanii huyo amekuwa kwenye mvutano na uongozi wa lebo hiyo Konde Gang Music Worlwide ambao jana Mei 11,2025 ulitangaza kumsimamisha Ibraah kushiriki shughuli zozozte za muziki hadi pale suala lake litakapopatiwa ufumbuzi wa kudumu kwa mijibu wa mkataba wake.

spot_img

Latest articles

Jaji Warioba ni lulu, mtake msitake

KUMEKUWA na mjadala wa wiki kadhaa sasa ukimlenga Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba,...

🔴🔴Wizara ya Maliasili yaendelea kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zake kwa Kamati za Bunge

📍 Kamati yaipongeza TAWA kwa ubunifu uliopelekea ongezeko la watalii, mapato Na Mwandishi Wetu, Dodoma KAMATI...

JAB yaonya waajiri katika vyombo vya habari kuzingatia Sheria kuepuka migogoro ya kisheria

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye vyombo...

Kata za Mzinga, Malangali kupiga kura kuchagua madiwani kesho

Na Mwandishi wetu, Dodoma JUMLA ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la...

More like this

Jaji Warioba ni lulu, mtake msitake

KUMEKUWA na mjadala wa wiki kadhaa sasa ukimlenga Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba,...

🔴🔴Wizara ya Maliasili yaendelea kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zake kwa Kamati za Bunge

📍 Kamati yaipongeza TAWA kwa ubunifu uliopelekea ongezeko la watalii, mapato Na Mwandishi Wetu, Dodoma KAMATI...

JAB yaonya waajiri katika vyombo vya habari kuzingatia Sheria kuepuka migogoro ya kisheria

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye vyombo...