Sakata lake na Harmonize, Ibraah aiachia Basata

Na Mwandishi Wetu

Baada ya kutoka ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Abdallah ‘Ibraah’, amesema ishu yake Konde Gang Music imefika kwenye mikono ya walezi, hivyo kila kitu kitakuwa sawa kwa sababu hiyo ni Serikali itaangalia wapi kuna haki na sheria itafuata mkondo wake.

Ibraah amefika Basata leo Mei 12, 2025 kuitika wito wa baraza hilo kutokana na sakata linaloendelea kati ya na lebo Konde Gang baada ya kutangaza kutaka kujitoa ambapo waliitwa yeye na Harmonize ambaye hakutokea.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa nimefika kwenye mikono ya walezi wetu, nadhani soon litakuwa sawa kwa sababu limefafika nyumbani,” amesema Ibraah.

Msanii huyo amekuwa kwenye mvutano na uongozi wa lebo hiyo Konde Gang Music Worlwide ambao jana Mei 11,2025 ulitangaza kumsimamisha Ibraah kushiriki shughuli zozozte za muziki hadi pale suala lake litakapopatiwa ufumbuzi wa kudumu kwa mijibu wa mkataba wake.

spot_img

Latest articles

Wanawake TRA Wapongezwa kwa Mchango wa Ukusanyaji Mapato

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Mwamba, amewapongeza wanawake wa...

Mchungaji Kimaro: Miradi ya Familia Ndio Suluhisho la Ajira kwa Vijana

Na Mwandishi Wetu  MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Dk....

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani: TRA Yakabidhi Vifaa Tiba Vyenye Thamani ya Milioni 40

Na Tatu Mohamed KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8,...

UWT Makangarawe watoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum kuelekea Siku ya Wanawake Duniani

Na Tatu Mohamed KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Umoja wa Wanawake...

More like this

Wanawake TRA Wapongezwa kwa Mchango wa Ukusanyaji Mapato

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Mwamba, amewapongeza wanawake wa...

Mchungaji Kimaro: Miradi ya Familia Ndio Suluhisho la Ajira kwa Vijana

Na Mwandishi Wetu  MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Dk....

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani: TRA Yakabidhi Vifaa Tiba Vyenye Thamani ya Milioni 40

Na Tatu Mohamed KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8,...