Sakata lake na Harmonize, Ibraah aiachia Basata

Na Mwandishi Wetu

Baada ya kutoka ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Abdallah ‘Ibraah’, amesema ishu yake Konde Gang Music imefika kwenye mikono ya walezi, hivyo kila kitu kitakuwa sawa kwa sababu hiyo ni Serikali itaangalia wapi kuna haki na sheria itafuata mkondo wake.

Ibraah amefika Basata leo Mei 12, 2025 kuitika wito wa baraza hilo kutokana na sakata linaloendelea kati ya na lebo Konde Gang baada ya kutangaza kutaka kujitoa ambapo waliitwa yeye na Harmonize ambaye hakutokea.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa nimefika kwenye mikono ya walezi wetu, nadhani soon litakuwa sawa kwa sababu limefafika nyumbani,” amesema Ibraah.

Msanii huyo amekuwa kwenye mvutano na uongozi wa lebo hiyo Konde Gang Music Worlwide ambao jana Mei 11,2025 ulitangaza kumsimamisha Ibraah kushiriki shughuli zozozte za muziki hadi pale suala lake litakapopatiwa ufumbuzi wa kudumu kwa mijibu wa mkataba wake.

spot_img

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

More like this

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...