Dkt. Biteko ashiriki uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Pwani

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo Aprili 2, 2025 Kibaha mkoani Pwani katika viwanja vya Shirika la Elimu ameshiriki katika sherehe za Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru zilizofanyika kitaifa mkoani humo.

Mgeni rasmi katika sherehe hizo ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango.

Sherehe hizo zilizoongozwa na kauli mbiu: ‘Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu’ zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa.

Viongozi wengine ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Zungu, Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali kutoka Tanzania Bara na Zanzibar.

spot_img

Latest articles

Simba nayo yaenda hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Winfrida Mtoi Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada...

Mrindoko: Mradi wa TACTIC utanufaisha wananchi wa Mpanda

Na Mwandishi wetu, Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amesema utekelezaji wa Mradi...

Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda

Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction...

Yanga yatinga makundi CAFCL kibabe

Na Winfrida Mtoi Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)...

More like this

Simba nayo yaenda hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Winfrida Mtoi Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada...

Mrindoko: Mradi wa TACTIC utanufaisha wananchi wa Mpanda

Na Mwandishi wetu, Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amesema utekelezaji wa Mradi...

Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda

Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction...