SIMBA YAIFUATA AL MASRY NA HESABU KALI

Na Winfrida Mtoi

Kikosi cha Simba kinatarajia kuondoka Machi 28,2025 kuifuata timu ya Al Masry nchini Misri kwa mchezo wao wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika huku uongozi wa klabu hiyo ukiwa na hesabu za kutinga nusu fainali.

Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja Habari na Mawasiliano wa hiyo, Ahmed Ally amesema malengo yao msimu huu ni kuhakikisha wanavuka hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali.

Ahmed amesema licha ya kukutana na mpinzani mgumu hatua ya robo fainali lakini wamejipanga kuhakikisha wanavuka na ndiyo sababu ya kuja na kauli mbiu ya ‘Hii tunavuka’.

“Kwa miaka mitano mfululizo tumekuwa tukiishia robo fainali kwenye michuano ya Afrika lakini safari hii tumedhamiria kuhakikisha tunavuka,”amesema Ahmed.

Aidha amesema wachezaji waliokuwa sehemu ya timu ya taifa, Taifa Stars, wataungana na wenzao nchini Misri ili kukamilisha maandalizi ya mchezo huo wakati Camara na Mukwala, tayari wamewasili na kuungana na wenzao kwa maandalizi zaidi kabla ya safari.

spot_img

Latest articles

Bodi ya wakurugenzi Ewura yatembelea miundombinu ya Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG)

Na Mwandishi Wetu BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati...

Wadau watoa tahadhari kuhusu Haki za Kidijitali kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Na Mwandishi Wetu MASHIRIKA mawili makubwa yanayojihusisha na haki za kidijitali ya Paradigm Initiative...

REA yahamasisha wananchi kutumia Mkaa Mbadala

📌Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira 📌Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake WAKALA...

Serikali yasisitiza Dabi iko pale pale Juni 15

Na Mwandishi Wetu Wakati Yanga ikiendelea na kampeni yake ya ‘Hatuchezi’ Serikali imethibitisha rasmi kuwa...

More like this

Bodi ya wakurugenzi Ewura yatembelea miundombinu ya Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG)

Na Mwandishi Wetu BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati...

Wadau watoa tahadhari kuhusu Haki za Kidijitali kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Na Mwandishi Wetu MASHIRIKA mawili makubwa yanayojihusisha na haki za kidijitali ya Paradigm Initiative...

REA yahamasisha wananchi kutumia Mkaa Mbadala

📌Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira 📌Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake WAKALA...