BEKI WA YANGA APANDISHWA CHEO AWA SAJENTI

Na Mwandishi Wetu

Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kimempandisha cheo mchezaji wetu Ibrahim Hamad “Ibra Bacca” kutoka Koplo na kuwa Sajenti kutokana na kuonesha kiwango bora Uwanjani.

Akizungumza baada ya kupandishwa cheo hicho, amesema anakishukuru kikosi chake kutokana na sapoti wanayoitoa kwake kila sehemu anayopita na kuahidi kuendelea kuitumikia nchi yake.

“Sina budi kushukuru kikosi changu kwa kuweza kunisapoti kwa kila hatua. Nitaendelea kuipambania nchi yangu,” amesema Sajenti Ibrahim Bacca ambaye wazazi wake pia ni askari.

Beki huyo alisajiliwa na Yanga  msimu wa  2022/2023 kutoka KMKM  ambacho ni  kikosi cha ulinzi cha Zanzibar ambacho kina jukumu la kulinda mipaka ya bahari dhidi ya magendo, uvuvi haramu, na vitendo vingine vya kihalifu. Pia, KMKM husaidia katika operesheni za uokoaji baharini na usalama wa majini.

spot_img

Latest articles

Rais Samia afanya mazungumzo na Askofu Malasusa

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

Ofisi ya Msajili Hazina yaendesha mafunzo kwa kamati za Bunge Dodoma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina imeendesha mafunzo kwa Kamati tatu za...

Tume, Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi kesho

Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho...

Rais Samia afanya mazungumzo na Mmiliki wa Klabu ya Manchester United, Ratcliffe

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan...

More like this

Rais Samia afanya mazungumzo na Askofu Malasusa

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

Ofisi ya Msajili Hazina yaendesha mafunzo kwa kamati za Bunge Dodoma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina imeendesha mafunzo kwa Kamati tatu za...

Tume, Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi kesho

Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho...