Singida BS yamuanika Patrick Aussems

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Singida Black Stars imemshauri aliyekuwa kocha wa timu hiyo Patrick Aussems kuanzisha timu kama anaguswa na Soka la Tanzania ili afanye yale anayoshari kwa vitendo.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo Februari 19,2025,imejibu kauli ambazo kocha huyo amekuwa akizitoa ikiwamo sababu za kufukuzwa kwake kwenye klabu hiyo.

Taarifa hiyo imesema kuwa Aussems aliondolewa kutokana na matokeo mabaya ya michezo mitatu ikiwamo pia kukosa sifa ya kuwa kocha mkuu kulingana na elimu yake.

spot_img

Latest articles

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

Serikali: Tuchukue hatua kuepuka madhara ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA)

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia kwa Mkurugenzi msaidizi, Kitengo cha Afya Moja, Ofisi ya...

Serikali yawaita wadau kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake michezoni

Na Winfrida Mtoi Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' amewaomba...

Ndejembi awahakikishia wakazi wa Kigamboni umeme wa uhakika

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amefanya ziara ya kikazi ndani ya...

More like this

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

Serikali: Tuchukue hatua kuepuka madhara ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA)

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia kwa Mkurugenzi msaidizi, Kitengo cha Afya Moja, Ofisi ya...

Serikali yawaita wadau kujitokeza kusapoti ushiriki wa wanawake michezoni

Na Winfrida Mtoi Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' amewaomba...