Kocha KMC akiri kipigo cha Yanga kiliwaumiza

Na Winfrida Mtoi

Kocha Msaidizi wa KMC, John Matambala amefunguka kuwa walipata maumivu makubwa ya kupoteza mchezo ulipita kwa kufungwa na Yanga mabao 6-1, huku akiahidi kijiponya maumivu kwa JKT Tanzania kesho.

Matambala ameyasema hayo leo Februari 17, 2025 wakati akizungumzia maandalizi yao dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja KMC Complex, jijini Dar es Salaam.

Amesema wamejipanda kucheza kama fainali ili kuchukua pointi tatu, licha ya kufahamu ubora wa wapinzani wao.

Kwa upande wake Kacha Mkuu wa JKT Tanzania Ahmed Ally, amesema mchezo huo hautakuwa rahisi kwani kila mmoja anahitaji alama tatu kutokana na  nafasi walipo katika msimamo wa Ligi Kuu.

spot_img

Latest articles

TTB yatumia Sabasaba kuitangaza SITE 2026

Na Tatu Mohamed BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imesema imeanzisha dawati maalumu katika Maonesho...

TTCL yaahidi kuimarisha huduma za kidijitali nchini

Na Tatu Mohamed SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litaendelea kuimarisha huduma za mawasiliano nchini...

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA UTALII KUPITIA MAKUBALIANO MAPYA

Na Mwandishi Wetu TANZANIA na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika...

TANESCO yazindua Nyumba Janja, yatoa majiko ya umeme kwa mkopo Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua Nyumba Janja yenye...

More like this

TTB yatumia Sabasaba kuitangaza SITE 2026

Na Tatu Mohamed BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imesema imeanzisha dawati maalumu katika Maonesho...

TTCL yaahidi kuimarisha huduma za kidijitali nchini

Na Tatu Mohamed SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litaendelea kuimarisha huduma za mawasiliano nchini...

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA UTALII KUPITIA MAKUBALIANO MAPYA

Na Mwandishi Wetu TANZANIA na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika...