Kocha KMC akiri kipigo cha Yanga kiliwaumiza

Na Winfrida Mtoi

Kocha Msaidizi wa KMC, John Matambala amefunguka kuwa walipata maumivu makubwa ya kupoteza mchezo ulipita kwa kufungwa na Yanga mabao 6-1, huku akiahidi kijiponya maumivu kwa JKT Tanzania kesho.

Matambala ameyasema hayo leo Februari 17, 2025 wakati akizungumzia maandalizi yao dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja KMC Complex, jijini Dar es Salaam.

Amesema wamejipanda kucheza kama fainali ili kuchukua pointi tatu, licha ya kufahamu ubora wa wapinzani wao.

Kwa upande wake Kacha Mkuu wa JKT Tanzania Ahmed Ally, amesema mchezo huo hautakuwa rahisi kwani kila mmoja anahitaji alama tatu kutokana na  nafasi walipo katika msimamo wa Ligi Kuu.

spot_img

Latest articles

Rais Samia afanya mazungumzo na Askofu Malasusa

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

Ofisi ya Msajili Hazina yaendesha mafunzo kwa kamati za Bunge Dodoma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina imeendesha mafunzo kwa Kamati tatu za...

Tume, Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi kesho

Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho...

Rais Samia afanya mazungumzo na Mmiliki wa Klabu ya Manchester United, Ratcliffe

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan...

More like this

Rais Samia afanya mazungumzo na Askofu Malasusa

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

Ofisi ya Msajili Hazina yaendesha mafunzo kwa kamati za Bunge Dodoma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina imeendesha mafunzo kwa Kamati tatu za...

Tume, Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi kesho

Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho...