Mwanahabari Mkongwe Mambo Mbotela afariki dunia

Mwanahabari mkongwe nchini Kenya, Leonard Mambo Mbotela amefariki akiwa na umri wa miaka 85.

Mbotela aliyejulikana kwa kipindi chake maarufu cha Je, Huu Ni Uungwana? amefariki dunia leo Ijumaa saa 3:30 asubuhi.

Akithibitisha kifo cha Mbotela, mke wa mwanaye anayejulikana kwa jina la Anne Mbotela wa mujibu wa amesema kuwa alikuwa mgonjwa kwa muda kabla ya kuaga dunia.

Mbotela alijizolea umaarufu kwa kipindi hicho kilichokuwa kikirushwa na Shirika la Utangazaji la Kenya (KBC), ambapo alivuta hisia za watu wengi waliokuwa wakimfuatilia.

Kipindi hicho kilianza kuruka mwaka 1966, kikijikita kuhamasisha masuala mbalimbali ikiwemo maadili kimekuwa kikirushwa kupitia Televisheni ya KBC nchini humo.

Kati ya vipindi vyake vilivyopendwa ni Uhalifu Haulipi, Ongea Lugha Sanifu na Waliosifika.

spot_img

Latest articles

Dkt. Biteko: Mradi wa kufua umeme wa JNHPP wakamilika rasmi

📌Asema ni ndoto ya watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika 📌Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu...

SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI-MAJALIWA

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kufanya maboresho zaidi ya mazingira...

ALLY KAMWE  AKAMATWA NA POLISI AACHIWA  KWA DHAMANA

Na Mwandishi Wetu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, SACP Richard Abwao amesema Jeshi la...

More like this

Dkt. Biteko: Mradi wa kufua umeme wa JNHPP wakamilika rasmi

📌Asema ni ndoto ya watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika 📌Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu...

SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI-MAJALIWA

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kufanya maboresho zaidi ya mazingira...