KMC, MASHUJAA ZATESTI MITAMBO


Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikitarajia kurejea wiki hii, timu za Mashujaa na KMC leo asubuhi zimecheza mechi ya kirafiki na kutoka sare ya bao 1-1, mchezo uliopigwa dimba la KMC Complex, Mwenge Dar es Salaam.

Timu hizo zipo katika maandalizinya michezo yao ya Katika Ligi Kuu ambapo Mashujaa itakuwa ugenini jijini Mbeya Februari 6,2025kucheza na Tanzania Prisons wakati KMC itacheza na Azam FC Uwanja wa Azam Complex Februari 6, 2025.

spot_img

Latest articles

Waangalizi wa Uchaguzi watakiwa kutoingilia mchakato wa Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAANGALIZI wa Uchaguzi wa ndani na wa kimataifa wametakiwa kuzingatia sheria...

Serikali yajipanga kuzalisha vijana wenye ujuzi na ubunifu kukidhi soko la ajira

Na Tatu Mohamed SERIKALI imesema itaendelea kuhakikisha vijana wa Kitanzania wanapata elimu na mafunzo ya...

Washindi wa Piku Afrika waeleza furaha yao baada ya kujinyakulia zawadi nono mtandaoni

Na Mwandishi Wetu WASHINDI wawili wa promosheni ya Piku Afrika, jukwaa la kidijitali linaloendesha minada...

More like this

Waangalizi wa Uchaguzi watakiwa kutoingilia mchakato wa Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAANGALIZI wa Uchaguzi wa ndani na wa kimataifa wametakiwa kuzingatia sheria...

Serikali yajipanga kuzalisha vijana wenye ujuzi na ubunifu kukidhi soko la ajira

Na Tatu Mohamed SERIKALI imesema itaendelea kuhakikisha vijana wa Kitanzania wanapata elimu na mafunzo ya...