KMC, MASHUJAA ZATESTI MITAMBO


Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikitarajia kurejea wiki hii, timu za Mashujaa na KMC leo asubuhi zimecheza mechi ya kirafiki na kutoka sare ya bao 1-1, mchezo uliopigwa dimba la KMC Complex, Mwenge Dar es Salaam.

Timu hizo zipo katika maandalizinya michezo yao ya Katika Ligi Kuu ambapo Mashujaa itakuwa ugenini jijini Mbeya Februari 6,2025kucheza na Tanzania Prisons wakati KMC itacheza na Azam FC Uwanja wa Azam Complex Februari 6, 2025.

spot_img

Latest articles

Watoto mapacha wajinyonga Zanzibar, kisa kazi za ndani

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa...

Yanga yatua Zanzibar kuitengenezea dozi AS FAR Rabat

Na Winfrida Mtoi Kikosi cha Yanga kimetua visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya kuikabili AS FAR...

Rais Samia atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, nane watemwa

Tatu Mohamed na Winfrida Mtoi RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,...

More like this

Watoto mapacha wajinyonga Zanzibar, kisa kazi za ndani

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa...

Yanga yatua Zanzibar kuitengenezea dozi AS FAR Rabat

Na Winfrida Mtoi Kikosi cha Yanga kimetua visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya kuikabili AS FAR...

Rais Samia atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, nane watemwa

Tatu Mohamed na Winfrida Mtoi RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,...