Dk. Biteko asisitiza kupiga kura ni haki ya Kikatiba

Na Mwandishi Wetu

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewahimiza Watanzania kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Dk. Biteko ametoa rai hiyo leo Novemba 25,2024 akiwa mkoani Geita ambapo amesema uchaguzi huo ni muhimu hususan kwa ukuzaji wa demokrasia nchini.

“Naomba Watanzania wote waliojiandikisha kwenye Daftari la Kupiga Kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika maeneo yao wajitokeze kupiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wao,” amesema Dk. Biteko.

“Viongozi hawa ndio msingi katika nchi yetu, viongozi hawa ndio wanajua watu wanaishije, wana shida gani na watafanya nini kutatua shida hizo. Ni muhimu wote kushiriki kuchagua viongozi tunaowataka,” amesisitiza.

Aidha, Dk. Biteko amebainisha kuwa kupiga kura ni haki ya kila Mtanzania mwenye sifa hivyo watu wote wenye sifa wajitokeze kupiga kura ifikapo Novemba 27, 2024.

spot_img

Latest articles

VIJANA WAHAMASISHWA KUTUMIA FURSA ZA MADINI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Na Mwandishi Wetu VIJANA nchini wamehimizwa kutumia nguvu kazi, maarifa na ubunifu wao kuchangamkia...

TTCL yatumia Nanenane kuhamasisha matumizi ya huduma za Cloud

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi...

Bodi ya Chai yahamasisha matumizi ya chai kwa manufaa ya afya

Na Mwandishi Wetu, Dodoma BODI ya Chai Tanzania imewahamasisha Watanzania kujenga utamaduni wa kunywa chai...

NIRC kutekeleza miradi 30 ya umwagiliaji, kufungua maelfu ya ajira kwa vijana

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imezindua mkakati wa...

More like this

VIJANA WAHAMASISHWA KUTUMIA FURSA ZA MADINI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Na Mwandishi Wetu VIJANA nchini wamehimizwa kutumia nguvu kazi, maarifa na ubunifu wao kuchangamkia...

TTCL yatumia Nanenane kuhamasisha matumizi ya huduma za Cloud

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi...

Bodi ya Chai yahamasisha matumizi ya chai kwa manufaa ya afya

Na Mwandishi Wetu, Dodoma BODI ya Chai Tanzania imewahamasisha Watanzania kujenga utamaduni wa kunywa chai...