Mjerumani amrithi Gamondi

Na Winfrida Mtoi

Yanga imemtangaza kocha Sead Ramovic raia wa Ujerumani kuchukua nafasi ya Miguel Gamond.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka 45, alikuwa akikinoa kikosi cha Ts Galaxy ya Afrika Kusini tangu mwaka 2021-2024.

Kabla ya kumtangaza kocha huyo Yanga ilitoa taarifa leo Novemba 15, 2024 kuwa imevunja mkataba na Gamondi pamoja na msaidizi wake Moussa Ndaw.

spot_img

Latest articles

Serikali kununua matrekta 10,000

Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000...

Menejimenti ya TMDA yajipanga na Dira 2050

Na Mwandishi Wetu MENEJIMENTI ya TMDA imekutana Morogoro Februari 2 hadi 3, 2026 kujadili...

Dk. Nchimbi: Uhuru wa Mahakama situmike kuficha uzembe

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ametoa rai kwa Majaji na Mahakimu...

Rais Samia kushiriki mkutano wa WGS 2026

Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Februari 2, 2026 kwenda...

More like this

Serikali kununua matrekta 10,000

Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000...

Menejimenti ya TMDA yajipanga na Dira 2050

Na Mwandishi Wetu MENEJIMENTI ya TMDA imekutana Morogoro Februari 2 hadi 3, 2026 kujadili...

Dk. Nchimbi: Uhuru wa Mahakama situmike kuficha uzembe

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ametoa rai kwa Majaji na Mahakimu...