Mjerumani amrithi Gamondi

Na Winfrida Mtoi

Yanga imemtangaza kocha Sead Ramovic raia wa Ujerumani kuchukua nafasi ya Miguel Gamond.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka 45, alikuwa akikinoa kikosi cha Ts Galaxy ya Afrika Kusini tangu mwaka 2021-2024.

Kabla ya kumtangaza kocha huyo Yanga ilitoa taarifa leo Novemba 15, 2024 kuwa imevunja mkataba na Gamondi pamoja na msaidizi wake Moussa Ndaw.

spot_img

Latest articles

Rais Samia hawezi kujivua uanadiplomasia akiwa ikulu

Dunia tunayoishi sasa mataifa hutegemeana. Huheshimiana na kuhitajiana. Ndiyo maana hata nchi za ulimwengu...

Msimu wa pili mbio za Pande Marathon kuzinduliwa Feb 14 Siku ya Wapendanao

Na Mwandishi Wetu UZINDUZI wa mbio za Msakuzi Pande Game Reserve Marathon awamu ya...

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi...

Coastal Union yawatembezea kichapo maafande wa Magereza

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa...

More like this

Rais Samia hawezi kujivua uanadiplomasia akiwa ikulu

Dunia tunayoishi sasa mataifa hutegemeana. Huheshimiana na kuhitajiana. Ndiyo maana hata nchi za ulimwengu...

Msimu wa pili mbio za Pande Marathon kuzinduliwa Feb 14 Siku ya Wapendanao

Na Mwandishi Wetu UZINDUZI wa mbio za Msakuzi Pande Game Reserve Marathon awamu ya...

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi...