Ruto, Raila na Museveni wakutana Uganda

Picha ya Rais wa Kenya, William Ruto na kiongozi wa Upinzani nchini humo, Raila Odinga wakiwa na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni imeibua mjadala mitandaoni.

Ruto alimshinda Raila katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkubwa baina yao. Matokeo hayo yalisababisha uhasama baina ya wanasiasa hao wawili, kabla ya kuwapo maelewano ambayo sasa yanawaweka pamoja.

Viongozi hao watatu walikutana kujadili nia ya Odinga kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU), alisema Ruto kupitia mtandao wa X.

spot_img

Latest articles

DCEA yakamata Kilo 101.2 za Mirungi ndani ya Basi la Abood, watano mbaroni

Na Mwandishi wetu Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata...

Wakurugenzi Media Brains waapishwa kuwa Majaji tuzo za EJAT

Na Mwandishi Wetu WAKURUGENZI wa Kampuni ya Media Brains wameapishwa wameteuliwa na Baraza la Habari...

CRDB yaandika historia, yapata faida ya Trilioni 1

Na Mwandishi wetu BENKI ya CRDB imepata faida ya Sh trilioni moja kabla ya...

Mchezaji auawa na majambazi nchini Ghana

MCHEZAJI wa soka nchini Ghana, Dominic Frimpong, ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya...

More like this

DCEA yakamata Kilo 101.2 za Mirungi ndani ya Basi la Abood, watano mbaroni

Na Mwandishi wetu Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata...

Wakurugenzi Media Brains waapishwa kuwa Majaji tuzo za EJAT

Na Mwandishi Wetu WAKURUGENZI wa Kampuni ya Media Brains wameapishwa wameteuliwa na Baraza la Habari...

CRDB yaandika historia, yapata faida ya Trilioni 1

Na Mwandishi wetu BENKI ya CRDB imepata faida ya Sh trilioni moja kabla ya...