Ruto, Raila na Museveni wakutana Uganda

Picha ya Rais wa Kenya, William Ruto na kiongozi wa Upinzani nchini humo, Raila Odinga wakiwa na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni imeibua mjadala mitandaoni.

Ruto alimshinda Raila katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkubwa baina yao. Matokeo hayo yalisababisha uhasama baina ya wanasiasa hao wawili, kabla ya kuwapo maelewano ambayo sasa yanawaweka pamoja.

Viongozi hao watatu walikutana kujadili nia ya Odinga kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU), alisema Ruto kupitia mtandao wa X.

spot_img

Latest articles

Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake...

Kocha Yanga ataja mbinu kuingamiza FAR Rabat

Na Mwandishi Wetu KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Concalves amesema falsafa yake katika mechi ya...

Zawadi za PIKU zafungua milango ya ujasiriamali kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu KATIKA kudhihirisha kuwa teknolojia inabadilisha maisha ya Watanzania, Jukwaa la Kidijitali...

DC Mpogolo: viongozi wa Serikali za Mitaa ni watu muhimu Katika Usimamizi wa Huduma za Umeme

Na Tatu Mohamed VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo...

More like this

Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake...

Kocha Yanga ataja mbinu kuingamiza FAR Rabat

Na Mwandishi Wetu KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Concalves amesema falsafa yake katika mechi ya...

Zawadi za PIKU zafungua milango ya ujasiriamali kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu KATIKA kudhihirisha kuwa teknolojia inabadilisha maisha ya Watanzania, Jukwaa la Kidijitali...