Ruto, Raila na Museveni wakutana Uganda

Picha ya Rais wa Kenya, William Ruto na kiongozi wa Upinzani nchini humo, Raila Odinga wakiwa na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni imeibua mjadala mitandaoni.

Ruto alimshinda Raila katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkubwa baina yao. Matokeo hayo yalisababisha uhasama baina ya wanasiasa hao wawili, kabla ya kuwapo maelewano ambayo sasa yanawaweka pamoja.

Viongozi hao watatu walikutana kujadili nia ya Odinga kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU), alisema Ruto kupitia mtandao wa X.

spot_img

Latest articles

Katibu Mkuu Kiongozi awataka maofisa habari serikalini kujiimarisha kiutendaji kukabiliana na teknolojia

Na Winfrida Mtoi KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Dk. Moses Kusiluka amewataka Maofisa Habari wa Serikali...

Rais Mwinyi: SMZ kuendelea kushirikiana na TRA kuimarisha ukusanyaji wa mapato

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein...

Tanzania yajumuishwa kwenye orodha ya Nchi zenye vikwazo vya kuingia Marekani

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuwa Serikali ya...

More like this

Katibu Mkuu Kiongozi awataka maofisa habari serikalini kujiimarisha kiutendaji kukabiliana na teknolojia

Na Winfrida Mtoi KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Dk. Moses Kusiluka amewataka Maofisa Habari wa Serikali...

Rais Mwinyi: SMZ kuendelea kushirikiana na TRA kuimarisha ukusanyaji wa mapato

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein...