Ccm watuma salaam kifo cha Lowassa

CCM watuma salaam kifo Cha LowassaChama Cha Mapinduzi CCM wametuma salaam za pole kwa ndugu jamaa na marafiki kupitia kifo Cha aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa .

CCM wamesema watamkumbuka Lowassa kwa umahiri wake katika kazi na akivyotumia akili yake kwa ajili ya kuitumikia chama na wananchi.

Wamewasihi ndugu kuwa watukivu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.

spot_img

Latest articles

RAIS SAMIA KUZINDUA RASMI MRADI WA JNHPP AGOSTI 22, 2026

📌Waziri Ndejembi asema ni tukio la kihistoria litakaloshuhudiwa na watanzania pamoja na wageni 📌Asema...

JAJI MSHIBE ASISITIZA MAANDALIZI YA KISEKTA KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),...

More like this

RAIS SAMIA KUZINDUA RASMI MRADI WA JNHPP AGOSTI 22, 2026

📌Waziri Ndejembi asema ni tukio la kihistoria litakaloshuhudiwa na watanzania pamoja na wageni 📌Asema...