Rais Samia awapiga chini mabosi Mwendokasi

Na Mwandishi Wetu, The Media Brains

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa mabosi wapya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) maarufu Mwendokasi   kwa kuwaondoa Mtendaji  Mkuu Dk. Athuman Kihamia na  Mkurugenzi Mkuu wa kampuni UDART, Waziri Kindamba.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Oktoba 2, 2025 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Sharifa Nyanga, walioteuliwa ni Said Tunda anayechukua nafasi ya Dk. Kihamia na  Pius Ng’ingo anayechukua nafasi ya Waziri Kindamba.

Uteuzi huo unakuja siku moja baada ya wananchi kufanya fujo kwa kupiga mawe mabasi hayo jana katika maeneo ya Magomeni jijini Dar es Salaam kutokana na kuchoshwa na hali ya usafiri  huo.

Wakati uteuzi huo unafanyika tayari mabasi mapya yameanza kufanya kazi katika njia  ya Kimara, Gerezani,  Kivukoni na Morocco.

spot_img

Latest articles

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...

More like this

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...