Rostam Aziz ainunua Nation Media ya Kenya

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya Taarifa Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz imeingia makubaliano ya kununu hisa za Taasisi ya Aga Khan inazomiliki katika kampuni ya Nation Media Group nchini Kenya.

Taarifa iliyotolewa na Taasisi ya Agakhan leo Machi 10, 2026 kutoka Neneva, Uswisi, imesema kuwa kampuni ya Taarifa Limited, imenunua hiza zote  asilimia  54.08 inazomiliki katika kampuni ya Nation.

Mchakato wa kukamilisha mauziano hayo umepangwa kuchukua kati ya miezi mitatu au minne, kutoka Mamlaka za Udhibiti za Kenya.

Hatua ya Rostam Aziz kununua hisa hizo unamrejesha tena mfanyabiashara huyo kuwa miongoni mwa wamiliki wakubwa  vyombo vya habari  Afrika Mashariki.

Kwa hapa nchini vyombo vya  habari vilivyopo ni Mwananchi Communication inayochapisha magazeti ya Mwananchi, Mwanasporti na The Citizen.

spot_img

Latest articles

Mwili wa Mwanahabari Mkongwe Makaranga waagwa Dar, kuzikwa Mwanza

Na Mwandishi Wetu WAANDISHI wa Habari, Wahariri, ndugu na jamaa leo Machi 10, 2026, wamejumuika...

Wanawake TRA Wapongezwa kwa Mchango wa Ukusanyaji Mapato

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Mwamba, amewapongeza wanawake wa...

Mchungaji Kimaro: Miradi ya Familia Ndio Suluhisho la Ajira kwa Vijana

Na Mwandishi Wetu  MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Dk....

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani: TRA Yakabidhi Vifaa Tiba Vyenye Thamani ya Milioni 40

Na Tatu Mohamed KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8,...

More like this

Mwili wa Mwanahabari Mkongwe Makaranga waagwa Dar, kuzikwa Mwanza

Na Mwandishi Wetu WAANDISHI wa Habari, Wahariri, ndugu na jamaa leo Machi 10, 2026, wamejumuika...

Wanawake TRA Wapongezwa kwa Mchango wa Ukusanyaji Mapato

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Mwamba, amewapongeza wanawake wa...

Mchungaji Kimaro: Miradi ya Familia Ndio Suluhisho la Ajira kwa Vijana

Na Mwandishi Wetu  MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Dk....