Jeshi la Polisi lachunguza  taarifa ya OCD  Chunya

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi limesema limeona na linafanyia uchunguzi taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha imetolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chunya (OCD), mkoani Mbeya kwa waandishi wa habari kama ushauri kwa wamiliki wa vituo vya mafuta wilayani humo.

Taarifa kwa Umma iliyotolewa na Jeshi hilo leo Novemba 26,2025, imesema uchunguzi unafanyika ili kupata ukweli wa taarifa hiyo, kwani hana mamlaka ya kuita waandishi wa habari na kutoa taarifa kwao. “Ikibainika hivyo hatua stahiki zitachukuliwa mara moja.

Mapema leo ilisambaa video ikimuonesha Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chunya (OCD), akitoa angalizo kwa wauzaji wa mafuta katika Wilaya hiyo, pamoja na kuwataka wasiwauzie madereva wa bodaboda mafuta yanayozidi lita mbili kwa wakati mmoja kuelekea Desemba 9, 2025.

spot_img

Latest articles

Ndejembi: Tanzania sasa ina umeme wa kutosha

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Tanzania kwa sasa ina umeme...

Uwanja wa Mkwakwani wafungiwa

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa...

Tuzo za TFF za msimu wa 2024/25 zayeyuka

Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya kuahirisha hafla ya utoaji...

Bondia Mrembo apewa Mmalawi

Na Mwandishi Wetu BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya...

More like this

Ndejembi: Tanzania sasa ina umeme wa kutosha

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Tanzania kwa sasa ina umeme...

Uwanja wa Mkwakwani wafungiwa

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa...

Tuzo za TFF za msimu wa 2024/25 zayeyuka

Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya kuahirisha hafla ya utoaji...