SGR yapata ajali, TRC yataja chanzo

Na Mwandishi Wetu

Treni ya Mwendokasi (SGR) imeacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo Oktoba 23,2025 wakati ikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Reli Tanzania, ajali hiyo imetokana na hitilafu za kiuendeshaji na hakuna kifo.

‘Timu ya wataalamu wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, uongozi wa TRC na vyombo vya ulinzi na usalama wamefika eneo la tukio kwa ajili ya uchunguzi  wa kina na juhudi za kuhakikisha kwamba huduma zetu zinarejea haraka,’ imesema taarifa hiyo.

spot_img

Latest articles

Mradi wa Taza kufungua Soko jipya la biashara ya umeme Afrika

Na Mwandishi Wetu, Mbeya IMEELEZWA kuwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya...

Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka...

Yajayo baada ya uchaguzi mkuu yahitaji hekima kubwa

JUMATANO ijayo, OKTOBA 29, 2025, taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linakwenda kuongeza...

More like this

Mradi wa Taza kufungua Soko jipya la biashara ya umeme Afrika

Na Mwandishi Wetu, Mbeya IMEELEZWA kuwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya...

Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka...