Gavana Tutuba azindua Jarida la Uchumi Wetu, Toleo Namba 1

Na Mwandishi Wetu

GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba, amezindua rasmi Jarida la Uchumi Wetu, Toleo Namba 1 la Julai, 2025 linaloandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania kupitia Idara ya Mawasiliano kila baada ya miezi mitatu.

Akizungumza katika uzinduzi wa Jarida hilo Gavana Tutuba alipongeza kazi nzuri inayofanywa na Idara hiyo katika kuhabarisha umma kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania.

Ameongeza kuwa Jarida hilo litakuwa ni wenzo wa kuuwezesha umma kusoma habari zihusuzo sekta ya fedha na uchumi wa nchi kiujumla zinazotoka Benki Kuu, Serikalini pamoja na sekta binafsi.

Jarida la Uchumi Wetu limesheheni maarifa kupitia habari, makala na matukio mbalimbali na litasambazwa kwa njia ya nakala tepe (soft copies) kupitia tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania www.bot.go.tz.

spot_img

Latest articles

ELAF yahimiza maridhiano na amani baada ya Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam TAASISI ya Everlasting Legal Aid Foundation (ELAF) imewataka Watanzania...

Taifa Stars ya Gamondi amrejesha Kelvin John

Na Mwandishi Wetu Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa, Taifa Stars Miguel Gamondi amemrudisha...

‘Hali ya huduma ya maji Dar, Pwani ni shwari’

Na Mwandishi Wetu WAKAZI mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa...

Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni halali

Na Mwandishi wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa...

More like this

ELAF yahimiza maridhiano na amani baada ya Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam TAASISI ya Everlasting Legal Aid Foundation (ELAF) imewataka Watanzania...

Taifa Stars ya Gamondi amrejesha Kelvin John

Na Mwandishi Wetu Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa, Taifa Stars Miguel Gamondi amemrudisha...

‘Hali ya huduma ya maji Dar, Pwani ni shwari’

Na Mwandishi Wetu WAKAZI mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa...