Rais atangaza kifo cha Cleopa Msuya

Na Mwandishi Wetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan  ametangaza kifo cha aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa  Rais na Waziri Mkuu,   Cleopa Msuya  kilichotokea leo Mei 7, 2025 katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.

Akitangaza msiba huo, Rais Samia amesema  Mzee Msuya alikuwa anasumbuliwa na tatizo la moyo kwa kipindi kirefu na alipata matibabu ya nchini katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, Mzena na nje ya nchi London, Uingereza.

“Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa na marafiki kwa msiba huu mkubwa kwa Taifa, natangaza siku saba za maombolezo kuanzia tarehe 7-13 ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti,” amesema Rais Samia.

spot_img

Latest articles

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...

More like this

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...