RAIS SAMIA APEWA TUZO

Na Mwandishi Wetu

Rais Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award kwenye hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam leo Februari 4, 2025.

Tuzo hiyo hutolewa kwa viongozi waliowezesha nchi zao kuharakisha maendeleo kuelekea kufikia malengo ya maendeleo endelevu.  Rais Samia amepewa Tuzo hiyo katika kipengele cha mapambano dhidi ya vifo vya wamama wajawazito na watoto wachanga chini ya umri wa miaka mitano.

spot_img

Latest articles

DAS Temeke azindua ofisi ya Wilaya ya kitanesco ya Mikwambe

📌Aipongeza TANESCO kwa maboresho yanayoendelea ili kusogeza huduma karibu kwa Wananchi. 📌Asema itapunguza adha wananchi...

Kamati ya uratibu ya Mradi wa SOFF yakutana jijini Dodoma

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa kushirikiana na Shirika...

ACT Wazalendo Nungwu yafanya mkutano Mkuu wa Kikatiba, Wajumbe zaidi ya 140 washiriki

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Habari, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha...

Tanesco yawataka wananchi kutofanya shughuli za kiuchumi

📌Ni katika zoezi la ukaguzi wa miundombinu ya umeme Tegeta na Mabibo 📌Yatoa rai kwa...

More like this

DAS Temeke azindua ofisi ya Wilaya ya kitanesco ya Mikwambe

📌Aipongeza TANESCO kwa maboresho yanayoendelea ili kusogeza huduma karibu kwa Wananchi. 📌Asema itapunguza adha wananchi...

Kamati ya uratibu ya Mradi wa SOFF yakutana jijini Dodoma

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa kushirikiana na Shirika...

ACT Wazalendo Nungwu yafanya mkutano Mkuu wa Kikatiba, Wajumbe zaidi ya 140 washiriki

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Habari, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha...