Watu wawili wafariki, 16 wajeruhiwa katika ajali ya basi Songwe

Na Mwandishi Wetu, Media Brains

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugonga daraja na kutumbukia mtoni katika eneo la Mlima Myovizi, mkoani Songwe.

Ajali hiyo, iliyotokea leo Julai 15 saa 12 asubuhi, ilihusisha basi la Ngasere High Class lililokuwa likisafiri kutoka Dodoma kwenda Tunduma, mkoani Songwe.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Gallus Hyera, amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo viwili na majeruhi 16 katika ajali hiyo, ambayo ilitokea baada ya basi hilo kugonga nguzo ya daraja na kutumbukia mtoni.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Mbozi, Dk. Kelvin Masae, amethibitisha kupokea majeruhi 16 ambao wanaendelea kupatiwa matibabu, huku wengine wakipewa rufaa kwenda Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.

spot_img

Latest articles

WANANCHI WAENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA TPRB NANENANE DODOMA

Na Mwandishi Wetu Na Mwandishi Wetu WANANCHI na wadau mbalimbali wanaendelea kunufaika na huduma zinazotolewa...

CDICD YAONGEZA THAMANI YA BLACK GRANITE

🔸Uchakataji wa kisasa waongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika soko la ndani na...

Taasisi za Umma 54 kuwasilisha taarifa za utendaji wa uwekezaji kwa Kamati za Bunge

Na Mwandishi Wetu JUMLA ya taasisi za umma 54 zinatarajiwa kuwasilisha taarifa za utendaji...

MKURUGENZI BOT AVUTIWA NA UFANISI WA UTUNZAJI KUMBUKUMBU KIDIJITALI WA PSSSF

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI wa Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt....

More like this

WANANCHI WAENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA TPRB NANENANE DODOMA

Na Mwandishi Wetu Na Mwandishi Wetu WANANCHI na wadau mbalimbali wanaendelea kunufaika na huduma zinazotolewa...

CDICD YAONGEZA THAMANI YA BLACK GRANITE

🔸Uchakataji wa kisasa waongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika soko la ndani na...

Taasisi za Umma 54 kuwasilisha taarifa za utendaji wa uwekezaji kwa Kamati za Bunge

Na Mwandishi Wetu JUMLA ya taasisi za umma 54 zinatarajiwa kuwasilisha taarifa za utendaji...